Matukio na Matokeo Ligi Kuu Nchini Uingereza
{Picha kwa hisani MyBroadBand} Na Dennis Mungai Raundi ya nne ya mechi Ligi kuu nchini Uingereza imekamilika wikendi hii siku ya Jumapili, mechi… Read More »Matukio na Matokeo Ligi Kuu Nchini Uingereza
{Picha kwa hisani MyBroadBand} Na Dennis Mungai Raundi ya nne ya mechi Ligi kuu nchini Uingereza imekamilika wikendi hii siku ya Jumapili, mechi… Read More »Matukio na Matokeo Ligi Kuu Nchini Uingereza
{Picha kwa hisani ya Bekaboy} Na Dennis Mungai Raundi ya pili za mechi ligi kuu nchini Uingereza ilikamilika jana usiku wakati Arsenal walichuana na… Read More »Matokeo na Matukio Ligi Kuu Nchini Uingereza
Mlinzi wa Manchester United Raphael Varane asherekea bao la pekee katika mechi dhidi ya Wolves siku ya Jumatatu. {Picha kwa hisani ya Premier League} … Read More »LIGI KUU NCHINI UINGEREZA
{Picha kwa hisani ya Organic Authority} Na Abdul Shaban Mabucha utabadili, nyama ni ile ile Wa kizungu na swahili, uitakayo uile Kwa chumvi… Read More »NYAMA NI ILE ILE
{Picha kwa hisani ya Sky News} Na Abdul Shaban Mshambuliaji Kylian Mbappe wiki jana Jumanne aliripotiwa kuwa na kikao maalumu na rais wa… Read More »Tetesi Za Mbappe
[Picha kwa hisani ya Prof. Laban Ayiro Facebook] Na Ashley Mbashu Makamu wa chansela, Profesa Laban Ayiro, ateuliwa kuwa mwakilishi wa bodi ya… Read More »MAKAMU CHANSELA WA CHUO KIKUU CHA DAYSTAR ATEULIWA KAMA MWAKILISHI WA KITAIFA WA BODI YA CHAMA CHA ELIMU YA MAREKEBISHO, MAREKANI.
[Pcha kwa hisani ya Freepik] Na Abdul Shaban. Nimefika katikati,kuelekea nyumbani. Namuona kaiwesti,nayeye yuko njiani. Juu kavalia vesti,chini nguo ya kijani. Akauliza bwana J,mbona umekimya… Read More »Pinky Ponky
Na Abdul Shaban Ndugu zangu ahlani, wasahlan jamiaNawaombea amani, iweni nanyi daimaNimenena kwa vinani, taarifa kuwafikaNawauliza jamani, wapi njia nitapata? Mwenzenu nawambieni, limenikuta gharikaChonde chonde… Read More »WAPI NJIA NITAPATA?
Na Abdul S. Shaban Mwambie anipigie ni mimi mama yake! Mwambie sina simu ila nimeona picha zake kwenye simu ya kupalaza ya khamisi. Mwambie amenenepa… Read More »Huzuni Kwa Mama Likizoni
{Picha kwa hisani ya HelpGuide.org} Na Abdul S. Shaban Nakumbuka ule muda, Niliokuwa napoteza muda, Nabaki naumia buda, Sikuwahi tunza muda. Muda leo unao,… Read More »MUDA